Zamani nilikuwa nasikia tu stori za kisekondari juu ya haya mambo lakin kweli wahenga walisema kuwa uyaone.
Nilikuwa na mchumba wangu ambaye alikuwa anasoma chuo fulani dodoma nilitokea kumpenda sana na hata kufikia hatua ya kupanga kufunga ndoa mwezi wa pili mwakani baada ya kutoa mahali mwaka huu.katika mahusiano yetu takribani miaka mitatu hatukuwai kukwaruzana kwa namna ya kutahadharisha mahusiano yetu.nilijitolea sana kumuhudumia vyema japo alikuwa na mkopo lakini pia nilikuwa ninamlipia mdogo wake wa kike ada ya diploma ktk chuo fulani par ambapo yeye anachukua diploma ya biashara.Mwaka jana mwezi wa pili nilipata safari ya kwenda nje ya nchi kufanya course ya mwaka mzima na kumuacha yeye nyumbani kwangu ambapo nilimuachia nyumba na gari yangu japo hili gari hata kabla ya sijaondoka alikuwa anatumia yy muda mwingi sababu mm nilikuwa natumia sana gari ya ofisini.mwezi wa tisa nilipewa mapumziko ya wiki mbili nikarudi na kumkuta kaleta rafiki zake watatu wanakaa pamoja mbaya zaidi hali ilinionesha kwamba walikuwa walevi wa kukubu na walikuwa wanadiliki pia kulala chumbani kwangu pindi wamelewa.niliporudi niliona nimfanyie suprise bila kumwabia kumbe nilijifanyia mwenyewe maana baada ya kuwasili tz nilikaa dar siku mbili ili kuripoti nipo tz then nikaanza safari ya dom nilipofika saa kumi na mbili jioni sikumkuta nami sikupiga simu nikawanasubiri nione matokeo yake.
Sasa ilipofika saa nne usiku bado alikuwa hajarudi nikaamua kumpigia simu yangu wakati nipo nje nilikuwa natumia roaming service kwaiyo namba haikuwa nabadilika hata nilipompigia akajua bado niko nje ya nchi.cha ajabu na alichonishtua akaniambia nipo nyumbani naangalia movie nikamwambia sawa na kaka yangu kanipigiaatapita kukusalimia anatoka mwanza akasema sawa then kama baada ya dk 20 nikaona anakuja akiwa na hao wadada huku wamelewa wote nahisi sababu ya pombe hakushtuka sana aliponiona ila asubuhi aliniomba sana nimsamahe.lakini tayari kichwa changu kilishagonga alerm baada ya kuona hata mazingira halisi jinsi walivyokuwa wanaishi pale.nikawa nimerudi kumalizia course yanguna mwezi watatu nikarudi tz hapa ndipo nilipoona kuna kitu kinaendelea sio sawa.hakuwa na uhuru tena na simu yake akawa hajiamini ndipo nikaanza ku track simu yake nikagundua kabadilika sana na ana mahusiano zaidi ya mmoja nje.kilichoniuma zaidi nilipokuwa zanzibar takriban mwezi mzima kkikazi tangu mwei wa nane kumbe alikuwa kaenda club na akalewa wakambeba na wakampiga mtungo nilipopata iyo habari ikabidi niwatafute wahusika kidiplomasia na wakanipa paka mkanda waliorekodi.ijumaa nikamwambia nataka tuende kwao nikwasalimie wazazi akafurahi sana nilipofika jioni nikawaomba wote na kuanza kuwasilimulia yote na kuwaonesha mkanda kwakweli mamake alilia sana hakuamini hata huyo mwanamke hakuamini kama nilikuwa na taarifa hizo zote nikawa nacheka nae hivi nimerudi jana wakuu na kuona nishare nanyi kwa mawali matatu