http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>

MELI YA TANZANIA YAKAMATWA ITALY IKIWA NA TANI 30 ZA MADAWA YA KULEVYA



Meli iitwayo Gold Star imekamatwa karibu na pwani ya Italy ikiwa na zaidi ya tani 30 za dawa za kulevya ambapo Polisi wa Italy wamesema documents zinaonyesha ilisajiliwa Tanzania.

Taarifa nyingine ya polisi imesema mzigo huo una thamani ya pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481 na meli yenyewe ilikua na timu ya watu tisa ambao wanatoka Egypt na Syria na mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.

Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo na wote tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa mapema tu na kukutwa na hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.

Bandari husika ya Italia walipewa taarifa kwa siri mapema siku kadhaa kwamba meli hii ilikua imebeba tani nyingi za dawa za kulevya hivyo wakawa wanaifatilia kwa siku kadhaa kabla ya kuikamata.

Msemaji wa bandari amesema hawakutegemea kama meli hiyo ingekua imebeba kiasi hicho cha dawa za kulevya na pia hawakutegemea kama watu waliokuwemo ndani yake wangeichoma moto ili kupoteza ushahidi japo zoezi hilo halikufanikiwa na dawa zikaonekana.

Meli hiyo imesogezwa kabisa mpaka kwenye bandari na moto umezimwa huku msako zaidi ukiendelea kwenye sehemu nyingine za meli hiyo ili kuona kama kuna dawa nyingine za kulevya huku watu wote tisa wakiwa wanaendelea kuhojiwa

ORIGINAL STORY IN ENGLISH

Freighter was ‘buzzed’ by a helicopter from the Italian coastguard

Ship was Tanzania-registered, with nine people on board jumping into sea

30 tonnes of hash had been loaded on in Turkey

This is the dramatic moment when drug smugglers set fire to a ship carrying more than £50 million worth of hashish after being spotted by customs officials.

Thick, dense plumes of smoke quickly billowed from the bridge of the Gold Star freighter just minutes after it was ‘buzzed’ by a helicopter from the Italian coastguard.

The nine people on board the Tanzanian registered ship then jumped overboard as they attempted to avoid being arrested but they were miles out to sea and had to be plucked to safety.


Up in flames: The Tanzanian-registered cargo ship MV Gold Star is seen with its bridge in flames

Night vision: An Armed Forces of Malta vessel (right) battles the fire

Italian customs officials intercepted the Gold Star as it sailed off the coast of Sicily in the Mediterranean following a tip off that it was carrying a huge consignment of drugs and she had been followed for several days before the operation was launched.

Besides a helicopter several fast patrol boats were used in the ‘raid’ and a search of the ship’s hold revealed a massive consignment of drugs, 30 tons of hashish which had been loaded on board in Turkey.

Italian officials said the crew were Syrian and Egyptians and before they could board the 82 metre 38-year-old ship they had to obtain permission from Tanzania where it was registered.

Firefighting boats had to be called in to put out the flames and the ship was today being towed to the Sicilian port of Syracuse where the arrested men were also being held before being questioned.


Black Cloud: Smugglers decided to set their drug haul on fire, which was evidently noticeable to customs officials





No way out: Customs officials pull up alongside the burning vessel as the game is up





Costly: There was thought to be £50million worth of hash on the boat





Stricken: The smugglers jumped overboard after deciding to set their loot on fire




A spokesman for Italian Customs said: ‘The ship was intercepted after intelligence was received that it was carrying drugs – but we never expected such a huge consignment and for the crew to set her on fire.

‘The idea was no doubt to try and destroy the evidence so that we could have no case against them but their plan failed and the fire was put out and the drugs were found during the search.

‘Nine people on board jumped into the sea but they couldn’t get very far as they were several miles from shore and they had to be rescued by Italian customs officers.

‘The fire is now under control and the ship is being taken to a port where it will be thoroughly searched again and the nine crew members will be questioned by prosecutors

ShareThis