Redd’s Miss Tanzania 2013 ni Happiness Watimanywa, mshindi wapi ni huyu wa kushoto anaitwa Latifa Mohamed na wa tatu ni Clara Bayo ambapo jumla ya Warembo 30 walishiriki kutoka mikoa mbalimbali.
Hawa ndio waliingia 5 bora ambapo ni Happiness Watimanya, Elizabeth Peter, Clara Bayo, Lucy Tomeka na Latifa Mohamed.












