http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>

NANDO ATIWA MBARONI KWA KASHFA YA KUIBA CAMERA NDANI YA JUMBA LA BBA...!



Nando ameendelea kuitia aibu Tanzania baada ya kukumbwa na kashfa mpya ya wizi wa kamera ndani ya jumba la big brother.

Wizi huo unadaiwa kutendeka baada ya Nando kualikwa kushiriki fainali za Big brother ambapo Dillish aliibuka mshindi wa shindano hilo.....

Baada ya wizi huo, kamera za jumba hilo zilimuumbua.Nando alikamatwa na kuamriwa airejeshe camera hiyo

ShareThis