http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>

MAHAKAMA YAWAFUTIA KESI YA UGAIDI KILOWO NA WENZIE

KESI ya ugaidi Tabora yafutiliwa mbali, Henry Kilewo na wenzake 4 huru kwa tuhuma hizo Jaji amemaliza kutoa hukumu yake na kufutilia mbali tuhuma za kosa la jinai lililokuwa likiwakabili makamanda wa CHADEMA, Henry Kilewo na wenzake. Ametoa ufafanuzi juu ya tuhuma za ugaidi zinazosemwa na kuenezwa na wanasiasa.





ShareThis