Kigogo wa usajili wa Yanga SC, Seif Ahmad 'Magari' akiwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Hamisi Friday Kiiza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya mechi kati ya Tanzania na Uganda. Kiiza amewasili Alasiri ya leo kwa ajili ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga SC, baada ya mvutano wa muda mrefu na uongozi wa klabu hiyo.

Kiiza akifurahia baada ya Uganda kuifunga Tanzania 1-