http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>

OBAMA APOKELEWA AFRIKA KUSINI NA MABANGO: KESHO ZAMU YETU TUTAMPOKEA KWA NGOMA NA VIGELEGELE

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA VIUNGA VYA MKI WA CAPE TOWN.
Waandamanaji wakiwa tayali kuanza maandamano ya Amani
Akiwa na mwenyeji wake Rais Jacob Zuma kulia kwao ni wake zao.
Moja la bango la waandamanaji likiwa chini.

Kama unavyojionea mwenyewe.
kazi kweli kweli.
Wakiyaandaa mabango .

Uku ikiwa wanakumbuka kwamba kiongozi wao wa kwanza Mweusi Mzee Nelson Mandela yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu kutokana na hali yake kuwa mbaya Baadhi ya wananchi wa Afrika kusini walijitokeza nje ya ukumbi wa Bunge mjini Cape Town kuandamana kupinga ziara ya Rais wa Marekeni Obama,uku wakiwa na Mabango yenye kuonyesha ujumbe mbalimbali kwa rais huyo

No comments:

Post a Comment

ShareThis