![]() |
Makamu Mkuu wa Chuo Kukuu Huria Prof. Tolly Mbwete |
Kufuatia ujio wa Rais wa Marekani Barrack Obama nchini Tanzania Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kimeamua kumtunukia Rais huyo Shahada ya heshima Uzamivu (PHD).
Hayo yamesemwa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Tolly Mbwete ambaye aliongeza na kusema kwamba tayari Mkuu wa Chuo hicho Dr. Asha Rose Migiro ameshapewa taarifa hiyo na kuikubali kwahiyo kinachofuata ni kusubiri ujio wa rais Barack Obama ili waweze kumtunukia Shahada hiyo ya Heshima kutokana na juhudi zake za kupigania maendeleo ya jamii.
BARABARA YA OCEAN ROAD KUITWA OBAMA ROAD:
Manispaa ya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ya ilala wamesema wapo mbioni kuibadili barabara ya Ocean Road na kuwa Barak Obama Road.....
No comments:
Post a Comment