TQNZANIA NI SAMATTA SAMATTA KILA KONAA: TANZANIA 3-1 MORROCCO
Mbwana Samatha katikati wakishangalia bao
Huyo ndio mchezaji ajulikanae kwa jina la Mbwana Samatha, Ndio Aliye ipatia Taifa Star Mabao wawili dhidi ya Morroco Leo ...Nakuweza kupata Ushindi wa Bao 3-1..Thomas anacheza Mpira wa kulipwa huko Kongo na Team ya TP Mazembe...Picha Zaidi Hizi Hapa Chini katika Mapozi Mbali Mbali: